Pages

Thursday, 15 August 2013

 

Kutokana na mtandao wa Tmz, juzi Soulja boy alitimuliwa ndani ya ndege (ambayo haikutajwa jina) pale ambapo alikataa kushirikiana na wafanyakazi wa ndege hiyo.
Soulja boy alikataa kukaa katika kiti chake alichokuwa anatakiwa kukaa pale alipoambiwa afanyee hivyo ndipo mfanyakazi wa ndege hiyo ya marekani alipoita uongozi wenye mamlaka ambao walifika na kumuondoa ndani ya ndege hiyo

Vanessa Mdee coming soon

 


Kichwa   cha  barua  hii  chahusika,  rejea  barua  yako  ya  maombi  ya  kujiunga  na  mafunzo  Ualimu  wa  Ujasiriamali  yanayo  tolewa  na  taasisi  yetu. 

Tunayo  furaha  kukutaarifu  ya  kwamba, umechaguliwa  kujiunga  na  mafunzo      Ualimu  wa  Ujasiriamali.      Mafunzo  kwa  njia  ya  nadharia  yataanza rasmi   tarehe  14  Machi   2013  ambapo  wanafunzi  wote  watapatiwa  vitabu  vya  mafunzo    ya  nadharia   katika  utaratibu  ambao  utafahamishwa   kwenu  siku  ya  tarehe  13  Machi   2013.
Inaendelea  bofya read more hapa chini